Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
Huwezi amini ba mkwe nilikua sijui kuna siku uliniita mamkwe nikajua tu matani ya chit chat nikaachana nayo
Halafu hii I'd nilikuwa najua ya mtu mzima lakini sasa michango niliyoikuta celebrity mambo ya hiphop nikajisemea tu moyoni mtu mzima gani huyu
Nawafaham tuUnamaanisha hizo id zote ni mtu mmoja au?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]SawaHajui lolote yule..amtazame fundi mount na chris pulisc ajifunze kutoka kwa wadogo zake
OkeeeeNawafaham tu
Sasa unaziba sura kwenye hiyo avatar yako ili iweje ! ?
Mchumba angu wa JF hataki nioneshe sura
xtaper [emoji6]
Nini?Atimae
Kwahiyo kama sikupendi basi unanikana mbele ya kadamnasi[emoji134][emoji134][emoji134]we si hunipendi !!
Tumefanya nini?
Haaaaa kweli hatujiamini we tuache tu na uhuru wetu bandiaWatu hamjiamini jamani
AloooNawafaham tu
Nini?
sema unanipenda hata mara moja tu nisilewe leoKwahiyo kama sikupendi basi unanikana mbele ya kadamnasi[emoji134][emoji134][emoji134]