Tupia member ambaye yuko banned kwa sasa

Sijajua. Ila huwa mara nyingine nikijaribu kuingia JF naambiwa sina right ya kuingia. Au naambiwa hamna post yoyote kama ninetumia jf app.
Kwa JF App ukiwa Banned ukilog in huwezi kuona post hata moja wala uzi.

Kwa Browser wanakuandikia kabisa Error inafuatiwa na You have being banned for the following reason_______, your ban will be lifted(tarehe ya kufunguliwa)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…