miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] hapo si kesi ya ukoo unawekwa? Unayakataje kwamfano?Mamrenyi....
Huyo mwenye hayo Masteria hana Ng'ombe Mae?
Tuje tumsaidie kuyakata.[emoji1787]
Weee... sisi siyo waanjo[emoji23] waanjo ni hao jamii ya wamarangu. Sisi warombo tuko kundi la peke yetu. Ukitaka tupeleke kenyaOhoo. Basi umelelewa vizuri. Mimi huwa napenda sana watu wanaojua jadi, mila na desturi zao na kuzitukuza. Bila shaka wewe ni mchaga 'mwanjo'' au mwasho kama wanavyoita warombo.