Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hyo ya kwanza nimeielewa sana
Imekaa poa sana..ila lazima uwe na mwili kama jamaa...sio upige pamba harafu uwe na mwili kama una utapia mlo..viwalo haviwezi kaa.hyo ya kwanza nimeielewa sana
imenilazimu nicheke kwa nguvu zoteKuna muda utafika Wavulana mtavaa Taiti.
hyo ya kwanza nimeielewa sana
Naona hapa kidogo lugha imegongana, kuna mmoja hajaelewa kabisa kile mwingine alicho elewa.... tehteehhhImekaa poa sana..ila lazima uwe na mwili kama jamaa...sio upige pamba harafu uwe na mwili kama una utapia mlo..viwalo haviwezi kaa.
yani jamaa kaweka msambwanda hivyo afu unasema unaielewa? aiseee!hyo ya kwanza nimeielewa sana
msambwanda wake ndo nimeuelewa sasayani jamaa kaweka msambwanda hivyo afu unasema unaielewa? aiseee!
[emoji16][emoji16][emoji16]tupia basi picha tukuone pedeshee
Hahaha Mkuu kweli we ni pedejeee
kuvaa mkanda co tatizo ila inatakiwa unafanane na kiatuNiacheni na ushamba wangu, siwezi kuchomekea bila kuvaa mkanda!
Kitu cha raizon! teh
Saluuute bujibuji...kweli pedeshee
hyo ya kwanza nimeielewa sana