fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Naona hapa kidogo lugha imegongana, kuna mmoja hajaelewa kabisa kile mwingine alicho elewa.... tehteehhh
Mkuu kula like yangu [emoji109][emoji109]Kuna muda utafika Wavulana mtavaa Taiti.
Hayo mavazi hata niwe peke yangu chumbani sivai.
aseee nmecheka kufa,,,,,,,ni hatariiiKuna muda utafika Wavulana mtavaa Taiti.
hahahaaaaasssasww
aseee nmecheka kufa,,,,,,,ni hatariii
Tuko wengi mno katika hili, tena nachomekea kiunoni kabisa na suruali ninayovaa ni ya kuvaa mwanaume sio mpiraNiacheni na ushamba wangu, siwezi kuchomekea bila kuvaa mkanda!
KaabisaHuu ni ushoga
Sura ya kithukuma kabisa hii..tehe
iv mtu akiguna apa inakuaje?Fashion Mpya kwa wanaume wa Dar , ambao wameathiriwa na Chipsy mayai
No Offense [emoji58][emoji58]View attachment 823825
Mchaga kajiteka Mwanza ili atumiwe Milioni 5.3 (+video) – Millardayo.comSura ya kithukuma kabisa hii..tehe
bonge ya li BASHITEFashion Mpya kwa wanaume wa Dar , ambao wameathiriwa na Chipsy mayai
No Offense [emoji58][emoji58]View attachment 823825