Tupia sentensi za kiswahili ngumu kutamka haraka, mfano: kichwa cha twiga, etc!!

barafuyamoto

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
32,378
Reaction score
29,739
Hola!
Kuna maneno au sentensi wazungu wanaita, TONGUE TWISTER, ukitamka haraka lazima ujikaanyage ulimi.
Ebu nawe kama wazijua kadhaa za kiswahili ebu tupia hapa, misemo hii unatakiwa useme haraka haraka na kwa kirudia rudia haraka.
-Kafa Manzese mazishi Sinza
-Kichwa cha twiga
-Kaka kale kakuku kako kadogo kako kwa kaka kadoda??
Etc
 
kichwa cha twiga [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


nyingine ni hii ncha ya ulimi hauigusi juu

"HONGKONG"
 
Mzee ponda kaponda tope topeponda kaponda nani.?
(ONYO)
usitamke ukiwa na watu unaowaheshimu kwani UTATUKANA.
 
Mzee ponda kaponda tope topeponda kaponda nani.?
(ONYO)
usitamke ukiwa na watu unaowaheshimu kwani UTATUKANA.
 
Mzee ponda kaponda tope topeponda kaponda nani.?
(ONYO)
usitamke ukiwa na watu unaowaheshimu kwani UTATUKANA.
 
kakataa kata kata kama katibu kata alivyo kataa kukata miti ya kata
 
hii siyo ya kiswahili lakini ilibamba sana miaka hiyoo

katai is a masai
katai can tie and untie a tie
if katai can tie and untie a tie..
why i cant tie and untie a tie like katai?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…