Tupia top 4 yako ya NBC kwa msimu huu wa 2022/2023

Tupia top 4 yako ya NBC kwa msimu huu wa 2022/2023

Kinumbo

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
3,039
Reaction score
5,560
Ikiwa ligi kuu bara alimaarufu NBC ikiwa imeanza jana tarehe 15 Agosti 2022. Hii ndio top 4 yangu kwa msimu wa 2022/2023.

1. Yanga SC

2. Simba SC

3. Singida BS FC

4. Azam FC

Tupia na yako tone

NB. Sina Usimba na Uyanga mimi.
 
Azam
Yanga
Singida
Namuongo
Simba
 
1. Yanga
2. Singida
3. Azam
4. Geita.

Kolo FC labda kuanzia nafasi ya 8 kushuka chini
 
1. Yanga
2.yanga queens
3.yanga under 20
4.azam

Yanga ya moto haikamatiki unbeaten tena msimu huu.
 
Ikiwa ligi kuu bara alimaarufu NBC ikiwa imeanza jana tarehe 15 Agosti 2022. Hii ndio top 4 yangu kwa msimu wa 2022/2023.

1. Yanga SC

2. Simba SC

3. Singida BS FC

4. Azam FC

Tupia na yako tone

NB. Sina Usimba na Uyanga mimi.
1. Yanga

2. Geita

3. Azam

4. Singida

5. Namungo

6. Simba

7. Polisi

8. ..............
 
Kinembe upo sawa kwel kiakili????
Ikiwa ligi kuu bara alimaarufu NBC ikiwa imeanza jana tarehe 15 Agosti 2022. Hii ndio top 4 yangu kwa msimu wa 2022/2023.

1. Yanga SC

2. Simba SC

3. Singida BS FC

4. Azam FC

Tupia na yako tone

NB. Sina Usimba na Uyanga mimi.
 
Back
Top Bottom