tupo kwenye mahusiano huu ni mwaka wa saba bado hatujaoana.




@ BHT msome jamaa hapo kwenye red utamwelewa.

siku njema
 
We unaoa mke au unaoa sherehe ?
Kama unakosa maamuzi asubuhi (wakati hujaoa) ukioa ndiyo kabisa! Utakosa hata maamuzi ya kununua suruali. Mpaka uruhusiwe!
 
Inawezekana hana mpango wa kuolewa na wewe ndio maana anaweka vikwazo.
 
Kaka huyo wa bei ghali atusumbua kama hawezi maisha ya uwezo wenu utakalia kuti kavu.
Ongea nae mweleze hali yako kama hawezi tafuta mwngne.
 
Miaka saba katika mahusiano ni mingi.Lazima upime uzito wa tabia zake,umri wa tabia zake na madhara yanayotokana na tabia zake.Baada ya hapo ufanye maamuzi.Kuna uwezekano mkubwa huyu binti alikuwa mzuri wa tabia na asiye na makeke,ila kutokana na tabia za kuiga(westernisation),na tabia za mashosti anabadilika.Hivyo huna budi kupima mwenendo,mlipoanzia,mlipo na mwendako.Kuna vitu vingine vinarekebishika tu.
 
Unajitesa sanaaaaaaaaaaaa sijui kwanini,kama anakupenda kweli hawezi kutaka kitu ambacho huna uwezo nacho,au kama umemwambia wewe mtoto wa boss wa BOT hapo ndio utajiju! ebu jikune unapojifikia......
 
he,kwani anavokwambia anataka ndoa yakifahari inamaana hajui uwezo wako kifedha?pamoja na mapenzi ya muda wa miaka yote saba?:A S 465:
 
Huyo usimuoe mkuu bora muendelee kukaa kama mtu na gf/bf wake kwakuwa mmeshazoea hali hiyo.

Mkiingia kwenye ndoa tu hamtakaa sana mtaachana pengine hata mwaka msifike!
 
Mwache mwambie aje kwangu,ntafanyia ndoa ya kifahari
 
Huyo anayehitaji ndoa ya kifahari hata maisha atahitaji ya kifahari kwa hiyo uwe macho akitokea anayeweza funga ndoa ya kifahari unaweza mpoteza tafuta mwingine.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…