Hiyo avatar yako na ID yako vina kueleza ulivyoEndelea kujichoresha tu mkuu, una hicho kipaji...ze comedy wana nafasi mkuu cheki nao, hapa unapoteza muda wako bure..
nichangie na mimi nionekane kwenye group la waizi majangiri ya tembo.majipu tupu ccm wote Magufuri anatumbua vidagaa kutoka ccm shame of you ccmJitahidi kuchangia zaidi ya hayo uliyoandika, nyumbu expert
Mkuu shemeji yako ni kutoka kwenye imani yako, ukiwa unazungumza namna hiyo naumia sana, maana nyie ni kama ndugu zangu..ila tunapokua pamoja wala hata hatuzungumzi mambo kama unayoyaleta hapa, ina shangaza sana, ila jifunze kutazamma mambo katika hali chanya na si hasi kila mara..mkuu unamaanishi kuwa muheshimiwa sana amekuwa akiteua viongozi wa kigango badala ya wakitaifa?
tuppaa kabisa kibogoyyo wee!! umenyonya DUSHE mpaka umepoteza mimeno umibaki mipengo tu[emoji86]Hizi ni effects za kikao cha mwanza, maana mlivyomaliza uchaguzi mkaenda chemba kuhesabu shanga kama kawaida yenu, naona mimba tayari, hongera utaitwa mama mda sio mrefu..
Mkuu nina maswali mawili tu kwako;Hiyo avatar yako na ID yako vina kueleza ulivyo
Kwakweli wote tuliompigia kura magufuli tumefanya jambo la kishujaa sana kwa taifa letu na tunahitaji pongezi.
Kwa niaba yangu binafsi, ninawashukuru sana na kuwaombea maisha marefu kwani taifa linahitaji watu wenye maono kama nyie.
Kitendo cha kuona kua Magufuli ni mtu sahihi wa kuliongoza Taifa, kuliko lile kundi la upande wa pili, ni kiashirio cha uzalendo uliotukuka.
Ingawa sio rahisi kuwatanbua kwa majina au kuwapa medali wote lakini Magufuli anawashukuruni kwa kutumbua mafisadi wote ili Uchumi wa nchi ukue na hatimaye sote tuone fahari kuwa katika nchi inayoitwa Tanzania.
Basi kwa kua tumeshafanya jambo moja la kishujaa sana basi si vibaya kufanya na hili kushiriki kikamilifu kulijenga Taifa letu kwa kufanya kazi ipasavyo nakuhakikisha kua Majipi mengine hayapati nafsi kuturudisha tena nyuma.
Hongereni sana na Taifa linawashukuru kwa uzalendo wenu.
Kwakweli wote tuliompigia kura magufuli tumefanya jambo la kishujaa sana kwa taifa letu na tunahitaji pongezi.
Kwa niaba yangu binafsi, ninawashukuru sana na kuwaombea maisha marefu kwani taifa linahitaji watu wenye maono kama nyie.
Kitendo cha kuona kua Magufuli ni mtu sahihi wa kuliongoza Taifa, kuliko lile kundi la upande wa pili, ni kiashirio cha uzalendo uliotukuka.
Ingawa sio rahisi kuwatanbua kwa majina au kuwapa medali wote lakini Magufuli anawashukuruni kwa kutumbua mafisadi wote ili Uchumi wa nchi ukue na hatimaye sote tuone fahari kuwa katika nchi inayoitwa Tanzania.
Basi kwa kua tumeshafanya jambo moja la kishujaa sana basi si vibaya kufanya na hili kushiriki kikamilifu kulijenga Taifa letu kwa kufanya kazi ipasavyo nakuhakikisha kua Majipi mengine hayapati nafsi kuturudisha tena nyuma.
Hongereni sana na Taifa linawashukuru kwa uzalendo wenu.
tunataka serikali inayoonesha utaifa na sio inayoonesha utabaka. uelewe hilo.Mkuu shemeji yako ni kutoka kwenye imani yako, ukiwa unazungumza namna hiyo naumia sana, maana nyie ni kama ndugu zangu..ila tunapokua pamoja wala hata hatuzungumzi mambo kama unayoyaleta hapa, ina shangaza sana, ila jifunze kutazamma mambo katika hali chanya na si hasi kila mara..
Tulishuhudia jinsi mlivyo mpeleka lowasa mahakamani wakati yupo ccmMkuu nina maswali mawili tu kwako;
1. Mfano Mbowe akiumwa(Mungu epushia mbali) nani hua anafikiri kwa niaba ya Chama ?
2. Ilikuaje ghafla lowasa akawa si fisadi, lakini alivyokua CCM mlikua mnamuita Fisadi, nini kili badili mtazamo wenu ghafla..
Nimesema hivi, tumeshuhudia mlivyo mfikisha mahakamani huyo lowasa kwa ufisadi wake wakati bado yupo ccm, hapo nani mwenye matatizo ya uelewa?Soma tena ulichoandika....ubongo wako uko sawa kweli...
Huwezi badilika labda uweke ya bandia[emoji85] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Your Statements defines you....