Tupunguze Gharama za Maisha


Sheria za bongo zinahitajiwa kufanyiwa marekebisho makubwa. Kwa maana hiyo Gal Friend wangu wa High School kwa miaka 2 kwa tafsiri hii alikuwa mke wangu?
 

Bright ukimuangalia Rev maelezo yake sio gharama tuu na rate za kuachana

Kama ni issue ya gharama tuu sio mbaya watu wanaweza kuamua kuzipunguza na kuoana kwa gharama kidogo sana tatizo kwa Rev hapo ni ile rate ya kuachana nayo imekuwa kubwa licha ya kutumia gharama au kutotumia gharama
 

Swadata!
 
Sheria za bongo zinahitajiwa kufanyiwa marekebisho makubwa. Kwa maana hiyo Gal Friend wangu wa High School kwa miaka 2 kwa tafsiri hii alikuwa mke wangu?

Rev hapo ni kuwa mmekaa nae nyumba moja kwa miaka miwili consecutively na watu au jamii inayokuzunguka hapo ikawaona kuw ammekuwa mume na mke. gal friend na boy friend mbona watu wanakaa miaka mitano ila wako mbalimbali hawaishi pamoja
 
+ 3yrs
 
Rev hapo ni kuwa mmekaa nae nyumba moja kwa miaka miwili consecutively na watu au jamii inayokuzunguka hapo ikawaona kuw ammekuwa mume na mke. gal friend na boy friend mbona watu wanakaa miaka mitano ila wako mbalimbali hawaishi pamoja

Kwani lazima mkae pamoja? Kila mtu anaishi kwake mnakutana kwa appointments
 
Yes indeed pongezi kwa mume na wazazi wako waliokulea..........ndoa siku hizi si mchezo, leo mnakenua kanisani mpaka jino la mwisho ukipita mwaka mmenuna utadhani mlilazimishwa
 



Mmmh!! haya maneno yanatoka kwenye kinywa cha Mchungaji kweli?....?
AU hilo jina ni kinyume cha jina pamoja na maana yake.
 
Yes indeed pongezi kwa mume na wazazi wako waliokulea..........ndoa siku hizi si mchezo, leo mnakenua kanisani mpaka jino la mwisho ukipita mwaka mmenuna utadhani mlilazimishwa
Hivi ee, ahsante dinnah
 
Mchungaji unataka ndoa ya mkataba? kwa hiyo unasupport zinaaa..,usife moyo moyo mke/mme mwema hutoka kwa bwana..,wafundishe wasukuma waache chagulagas which result 2 talaka 3...Mtani ni wakati mzuri kufundisha wanandoa habari ya upendo wa agape ambao ndani yake kuna toba ya kweli...ambayo ndiyo dawa ya hizi talaka -samehe,achilia,sahau, furahia maisha, songa mbeleeee 2 jubilei ya 100yrs..
 

Na huu utandawazi inawezekana?
 
Mchungaji shindwa! Nafikiri focus iwe into premarital counselling ili watu wajue ndoa sio harusi. Something mchungaji mwingine alisema at mafundisho ya wedding ni watu tunaandaa sana harusi na sio ndoa. Aliwasihi maharusi kuhakikisha tunajiandaa kuwa washiriki kamilifu katika hiyo union na sio kufocus on gauni/suti/viatu bila kujisikiliza kwa karibu na kutafuta kumuelewa huyo unayemchagua kuwa mwenzi wa maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…