Tupunguze kuwasema wanawake vibaya

Tupunguze kuwasema wanawake vibaya

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
2,977
Reaction score
3,798
Tunawalaumu sana wanawake,kuhusiana na maisha baina ya mwanamke na mwanaume.Kila jambo baya likitokea basi ni mwanamke ndio kahusika.Tujitazame na sisi wanaume tunatenda haki?,Tupo sawa? hatna dosari?
 
Tunawalaumu sana wanawake,kuhusiana na maisha baina ya mwanamke na mwanaume.Kila jambo baya likitokea basi ni mwanamke ndio kahusika.Tujitazame na sisi wanaume tunatenda haki?,Tupo sawa? hatna dosari?
Hili si la kujumlisha kila kesi, inategemea na jambo lililoleta lawama au linalolaumiwa.
 
Feminist, Woman Sympathizer, A Simp
Kaingia.
Wewe elezea mazuri Yao, hao wengine waelezee mabaya Yao.

Sisi wasomaji tutachambua
 
Tunawalaumu sana wanawake,kuhusiana na maisha baina ya mwanamke na mwanaume.Kila jambo baya likitokea basi ni mwanamke ndio kahusika.Tujitazame na sisi wanaume tunatenda haki?,Tupo sawa? hatna dosari?
Umechanganyikiwa au? Nyeupe unaita nyeusi. Lawama wanazopewa wanawake hazifiki hata 5% ya lawama wanawake wanazotupa. Baba zetu wangeamua kufunguka mabaya ya mama zetu tungeweza hata kuwapiga mawe mama zetu.
 
Mkuu usijisumbue wengi wa wanaotoa lawama wana upwiru mkali halafu kila wakirusha ndoano chambo kinaliwa samaki anakula kona hata harufu ya chupi ya ke hawaijui wanaisoma humu.
 
Back
Top Bottom