#COVID19 Tupuuze uzushi wa Mitandaoni, Tanzania hatuna Corona - Prof. Mchembe

Hawa ndio watu wa kunyongwa, walilwta maafa makubwa kwa udanganyifu huu
 
Yupo wapi huyu Prof, sijamsikia muda mrefu umepita
 
kuna kipindi nchi ikiwashinda wanaanza kutumia uongo tu.unafahamu swala la ili gonjwa linaweza kuumbua wizara ya afya.
hawa wezi kumudu na wanaogopa kuchekwa
 
Hatimaye pamoja na udaktari wake alishidwa kumtibu JPM alipopatwa na COVID 19 hadi akaitwa Janabi kuja kuokoa maisha ya JPM lakini ilikuwa too late.Mficha maradhi msiba humfichua.Pia Magufuri alipenda vilaza wa mawazo kama vile Dr.Mchembe,Makonda,Polepole,Ally Bashiru,Ndugai,Tulia Akson,Kabudi na Heri James mpwa wake.
 
Mnatumia nguvu sana kulazimisha kifo cha Magufuli kwamba kilikuwa cha corona.
 
PROfesa mchembe kimya sana huyu jamaa sikuizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…