Turkana 68,680 km² is bigger than dar 1500km2

Pwahahahaha..you tell 'em bro...jamaa hajui hata Lagos tu ni kubwa kuliko New York...sasa ukubwa ndo nini? hawa jamaa lakini education system yao sijui ikoje...vichwa vimejaa uji
 
Asiyefurahia ukubwa was Dar in km sq atapata taabu sana[emoji23] [emoji23]
 
Exactly how they reason ety Nairobi inaingia mara kumi kwa dar. I think akili zao hua na boundaries ya kufikiria pia.
 
hivyo kwa akili zako ukubwa inaashiria maendeleo au? hizi ni boundaries (mipaka) tu...ukitaka maendeleo angazia barabara, majengo, rasilimali, miundo mbinu, hali ya maisha na kadhalika baba...sio boundaries hizi zinaweza zikabadilisha wakati wowote ule aitha kwa kupunguza au kuongeza...mfano nairobi county inaweza ikaongezwa mpaka ijumuishe athi river county na county zingine zinazopakana na Nairobi
 
Exactly how they reason ety Nairobi inaingia mara kumi kwa dar. I think akili zao hua na boundaries ya kufikiria pia.
Then stop yapping ati Nairobi is the largest city in East Africa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…