In Tz, we have no malaise as KenyansYaani hapa ni raha sana. Ukiwa Tanzania raha tele. Wenzetu wakenya wanandamana kumpinga Trump asiwe rais wa Marekani.
Hata mie Zinduna nasubiri khotubaMiye nasubiri hotuba za Hafla ya usiku nisikie wageni watawekeza viwanda vingapi?
Yaani hapa ni raha sana. Ukiwa Tanzania raha tele. Wenzetu wakenya wanandamana kumpinga Trump asiwe rais wa Marekani.
Waje baba twafaJPM hajatoka lakini wanakuja......warete warete.....
Hii ndiyo Tanzania bana.
mganga wake makali mkuuuJPM hajatoka lakini wanakuja......warete warete.....
Nadhani hatokuja dar bali ataenda Dodoma maana ndo makao makuu ya nchiiiHii ndiyo Tanzania bana.