Hehehe tell me you're joking?3rd n 4th sections before mid next year. Meanwhile Kenya will be going for the third round of election as 26th October won't happen! Did u check how many good willing Kenyans including tycoon Mwau have filled cases against improper conduct by Jubilee branch IEBC ?
Kampuni ina experience ya zaidi ya miaka 50 na specification ziko wazi! Tanzania si Kenya hatuingii na kichwa wendawazimu.Wametoa pesa zao, mtakuwa na jeuri ya kuwapa watu wengine hiyo tenda? Hayo makampuni mwingine kuyashindanisha ni kiini macho tu.
Wacha upumbavu ingia website uone Yapi Merkezi wamefanya nn ikiwemo kujenga Eurotunnel! Peleka upumbavu wa uzembe wa kutokusoma na kujijulisha kuhusu kampuni hii! Unajua hata Wachina walipokuja kujenga TAZARA hawa Wakenya na mabwana zao West walikejeli sana! Sasa wanalipa twice the price za kejeli za 1960s kwa reli isiyotumia umeme!Mturuki Vs Mchina?!!
Mturuki ana experience katika reli zaidi ya Mchina?!
Ok!! Tuendelee tu!!