waOLDmoshi
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 879
- 1,749
Hii nyimbo imenisaidia kumpata binti nilie mpenda sana baada ya kumtongoza almost mwaka mzima
...
Hii nyimbo ni hatari, moja ya nyimbo yangu bora ya wakati wote
......
Highly recommended
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unamzungumziaje the late Gregory Isack... Fundi sana wa sweet reggae hasa kibao chake murua cha night nurseHakuna ngoma zina mistari mitamu kama sweet reggae.
Nampenda sana Alaine Laughton japo namaindi mizigo iliojazika ila kwa mistari ya huyu mwanamama ningetulia penzini kama ki mbwa kilichomwagiwa maji ya baridi!
Sauti yake ni nyororo sana aisee na mistari deep ya kimapenzi inayokonga nyoyo. Hii ni moja ya ngoma yake iliopikwa na Donnovan Vendetta (Don Corleone) huyu ndio P.funk wa Sweet reggae na Dancehall.
Song: No Ordinary Love
Alaine
Every, Every moment that I'm awake. Every, every hour of every day I love how you take my breath away.
[VERSE 1]
In your arms I'm safe, secure, every care around me melt away.When you hold me I forget every word that I wanted to say. I am freely lost in your love there's no one else for me, I surrender, completely. Ooh, ooh...
[CHORUS]
My heart's racing I'm shaking, caught up in the love we're making. This is no, this is no ordinary love. Oh, baby your skin on my skin, it feels so good, I feel like crying. This is no, this is no ordinary love.
[VERSE 2]
I don't ever want to say good-bye, I can never breath never survive. Baby your my reason why I believe there's meaning inmy life. I have faith in love, faith in us and faith that this is right. I surrender, forever, tonight. Ooh, ooh...
[CHORUS]
[VERSE 3]
Extraordinary more than special, every moment we're together. More than love, more than enough I'm never leaving never. Every second, every minute, love and I have fallen in it with you and only you. Ordinary just for you. Ooh, ooh..
[CHORUS]
Kitu wengi wasichokijua ni kwamba Lauryn Hill ni binamu yake kabisa na Bob Marley. Kitu kingine usichokijua ni kwamba hii ngoma mimi huwa naisiliza mara mbili tu kwa mwezi mzima. Sababu ni nyimbo ambayo naipenda sana na sitaki niichoke na kuizoea.Ukisikiliza huu wimbo kuanzia mpangilio wa sauti, ala zake zilivyopigwa humo ndani,namna walivyokuwa wanapishana humo ndan Bob Marley na Lauryn Hill na namna mashairi yalivyopangiliwa humo ndani asee kwangu huu ndio wimbo bora wa muda wote ya mapenzi. Huu ni wimbo mahususi hasa kipindi hiki cha wapendanao maana inaamsha hisia za dhati.mojawapo ya wimbo bora wa mapenzi ambao mwanzo mpaka mwisho husikii tusi lolote ila inaamsha hisia.
Mnaonaje wadau upande wenu upi ndio wimbo bora wa mapenzi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Gregory Isack ni jiwe jingine mkuu. Ana vyombo vya maana sana.Mkuu unamzungumziaje the late Gregory Isack... Fundi sana wa sweet reggae hasa kibao chake murua cha night nurse
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kabisa mkuu... Wazee wale walikuwa wanachora mistari murua na nadhifu kweli kweli. Ila hiki kizazi cha akina vybz cartel ni mitusi tu.Gregory Isack ni jiwe jingine mkuu. Ana vyombo vya maana sana.
Kuna huyu mwamba wa kuitwa Tarrus RileyAcha kabisa mkuu... Wazee wale walikuwa wanachora mistari murua na nadhifu kweli kweli. Ila hiki kizazi cha akina vybz cartel ni mitusi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lallalalallala nilimsahau huyu mnyamwezi wa karma.... Makini sana huyuKuna huyu mwamba wa kuitwa Tarrus Riley
Nimekuelewa mkuuEti Nyimbo, yani hata watangazaji wa Radio nao hili neno linawashinda sana.
Mistari inachorwa mpaka unasema hawa jamaa walikuwa wanawaza nini kuna ile ngoma ya mysterious girlAcha kabisa mkuu... Wazee wale walikuwa wanachora mistari murua na nadhifu kweli kweli. Ila hiki kizazi cha akina vybz cartel ni mitusi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari sana mkuu.... Halafu ala zinasikika vyema kabisa na hakuna ukakasi wowote kwenye ujumbe.Mistari inachorwa mpaka unasema hawa jamaa walikuwa wanawaza nini kuna ile ngoma ya mysterious girl
Sent using Jamii Forums mobile app