Turudi kwenye Historia

Huwezi kuniaminisha kwamba jamii nzima yenye watu Bilioni 1 isiwe na mchango wowote ule kwenye maendeleo ya dunia tangu historia ianze kuandikwa kwenye vitabu. Nilisoma kitabu kimoja kinatwa OUR HISTORY:AFRIKANS FROM ANTIQUITY TO THE 21ST CENTURY cha Dr Gaid Faraj kuna mambo mengi kuhusu mtu mweusi yamefichwa.
 
Hakika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…