Turudi kwenye unyago au tuendelee na kitchen party?

ni malezi tu but siyo wote, bado kuna wake wazuri sana tu.
 
Jamani akina K mbona wengine mnakuwa wakari hvyo na wakati mleta mada mwenyewe Nazjazi ni mdada kama nyie na japo simjuhi lakini anaonekana ni muungwana,mkweli na anajiheshimu sana,simply anadisclose ukweli wa mambo nyie mnakuwa wakali,WHY??japo ukweli ni mchungu na unauma lakini kwa ukweli kabisa hamna budi kuukubali vingnevyo mtaendelea kuchezewa,kuachwa na kuumizwa in many ways
 
Mule mule kaka, tuna shida ya maadili ktk ndoa zetu ..nimeipenda hiyo samahani- imetulia!
 
.....tuwaache tu na masomo yao....tuoe mahouse gal,ndio wanajua wajibu wa mke


Sikatai kua wanawake wengi siku hizi hawajali hayo mambo ila kuna baadhi wanajitahidi sana lakini dume halitulii. Kama mume ni mkware hata ukimsujudia bado atatoka nje. Mpaka unajiuliza hivi huyu kwa mkewe anakosa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…