Mjomba Mkude
JF-Expert Member
- Nov 21, 2013
- 287
- 110
Wadau nimejaribu kufikiri uwezekano wa Watanzania kupata Katiba mpya kupitia mchakato huu unaoendelea na kwa tathmin yangu naona hatutopata katiba mpya..nina sababu..
1.CCM na washirika wao lazima watapitisha serikali mbili bungeni hii ni kutokana na wingi wao.
2. Wakati wa kupiga kura wananchi watakataa mfumo huo wa serikali mbili na kutokana na sheria ya mabadiliko ya katiba kwamba wananchi wakipiga kura ya hapana basi katiba ya 77itaendelea kutumika.
MaCCM yataibuka mashindi.
.Vinginevyo Either katiba mpya yenye serikali 2 au Katiba ya mwaka 77.
Tungoje tuone.
1.CCM na washirika wao lazima watapitisha serikali mbili bungeni hii ni kutokana na wingi wao.
2. Wakati wa kupiga kura wananchi watakataa mfumo huo wa serikali mbili na kutokana na sheria ya mabadiliko ya katiba kwamba wananchi wakipiga kura ya hapana basi katiba ya 77itaendelea kutumika.
MaCCM yataibuka mashindi.
.Vinginevyo Either katiba mpya yenye serikali 2 au Katiba ya mwaka 77.
Tungoje tuone.