Tusahihishe Historia ya Uhuru wa Tanganyika

Tusahihishe Historia ya Uhuru wa Tanganyika

Ngoja nikasome masters niijue hii maada inamlengo gani 👑👑👑..

Hii mada ina harufu gani ya Maiti Iliyopelekwa mortuary au Maiti iliyokutwaa imeoza ndani na defender ya polisi
 
Kutoka kwenye mtima wa muandishi shida kwake ni uislamu vs ukristo(ukatoliki)..

Huyo JK Nyerere iwapo angekuwa muislamu nadhani muandishi angekuwa anajishughulisha na kazi nyinginezo
 
Back
Top Bottom