[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndomana upo tofauti na wengine[emoji23][emoji23][emoji23] wenzio wamejaribu kujibu wewe unaleta makuzi[emoji28]
Daaah asee nlisandaš4...Kimara
Pale Askari kuna mshona viatu aliandika kibao KUULIZA- 500/=, KUPELEKWA 1000/= Sijui alikuwa anatania?. Sorry nimekosea kukuquote.Kwahiyo ukiishi mkoa unakuwaje
[emoji23][emoji23]
Anyway nipo Sumbawanga
4. Kimara