Erick zeph Stanley
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 647
- 72
kwa kaka na dada zangu ambao mmedumu chuo kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa namanisha mwaka wa pili na kuendelea na ni wanufaikaji wa mikopo toka HESLB ninaomba ufafanuzi wenu japo kwa kina juu ya kuapdate mikopo kwani nimepata mkanganyiko juu ya suala hili baadhi ya watu wanasema hiyo system ya kuapdate mikopo haipo tena sasa sijui kipi ni kipi ndio maana nimejitokeza mbele ya hili jukwaa kupata ufafanuzi wenu..
*Ntashukuru kwa michango chanya na yenye uwekevu..
___________________________________
__________NAWASILISHA_________
*Ntashukuru kwa michango chanya na yenye uwekevu..
___________________________________
__________NAWASILISHA_________