Habarini wadau! kheri ya mwaka mpya!!
Kuna ndugu yangu kamaliza chuo mwaka juzi. Mama mnavyojua, suala la ajira ni kitendawili kilichokosa majibu. nimefikiria kumshauri aanzishe tu kijikibustani cha mipapai ili aweze kujipatia chochote baada ya muda.
Kaeneo kalichopo ni kama robo tatu ekari tu. Sifahamu sana kuhusu kilimo hicho lakini akili yangu inahisi kuwa ni chenye tija tu. Dogo, kwakuwa amevurugwa, hana neno kwenye hilo, anahitaji mtaji tu.
Sasa wadau, kwa mwenye ujuzi, naomba anipatie somo kidogo kuhusu uanzishwaji wa bustani kama hiyo, faida, hasara, masuala ya mtaji na kuhusu eneo langu pendekezwa kama lina tija.
ahsanteni na mbarikiwe sana!
Kuna ndugu yangu kamaliza chuo mwaka juzi. Mama mnavyojua, suala la ajira ni kitendawili kilichokosa majibu. nimefikiria kumshauri aanzishe tu kijikibustani cha mipapai ili aweze kujipatia chochote baada ya muda.
Kaeneo kalichopo ni kama robo tatu ekari tu. Sifahamu sana kuhusu kilimo hicho lakini akili yangu inahisi kuwa ni chenye tija tu. Dogo, kwakuwa amevurugwa, hana neno kwenye hilo, anahitaji mtaji tu.
Sasa wadau, kwa mwenye ujuzi, naomba anipatie somo kidogo kuhusu uanzishwaji wa bustani kama hiyo, faida, hasara, masuala ya mtaji na kuhusu eneo langu pendekezwa kama lina tija.
ahsanteni na mbarikiwe sana!