Tusaidiane kutafakari kauli za mama Diamond

Mzee kaongea kwasababu ya unyonge, hata kidogo ku release maumivu.. Mzee dingi angekuwa na hela anaonekana mtu poa sana.. ukiachana na udhaifu wake mwingine wa kibinadamu
Alipokua nazo pesa hakumthamini mtoto
Nimekutana na kisa cha kumfukuza nasibu harusini ili asile pilau.... kwa kweli usimfanyie mtoto ubaya
 
Wataalamu wa saikolojia tunaelewa zaidi.. hakunaga vita ya maskini na tajiri..
 
Hii picha huyu mzee alikuwa handsome balaa.akicheka kama akina p square duh
 
Alipokua nazo pesa hakumthamini mtoto
Nimekutana na kisa cha kumfukuza nasibu harusini ili asile pilau.... kwa kweli usimfanyie mtoto ubaya
Hili swala, kila mtu anajivua na kuonekana hana hatia. Ila mwenye matatizo ni mke inavyo onekana na hakuwa muaminifu, we kila mtoto na babake huoni ni shida.. hili jambo lina mzizi .. ila wenye pesa wamezingua kinyama
 
It's true, ndio maana Abdul alipokua tajiri nasib na mamake walikua wanyonge
Dunia duara
Huyo mzee hajawai kuwa tajiri. Tazama picha za zamani kati ya huyo mzee na hiyo mke na diamond.. kama ni mtu unaeweza tafsiri picha utaelewa maisha yao. Ila baraa huenda lilianza mama alipo anza pigwa nje wazi wazi.. ndio ibiri alipo ingia. Na mzee hakuwa na shida, ila baada ya mama kufanya hivyo alianza taka tumia mgongo wa mtoto.. kitu ambacho kimeleta haya yote
 
Hili swala, kila mtu anajivua na kuonekana hana hatia. Ila mwenye matatizo ni mke inavyo onekana na hakuwa muaminifu, we kila mtoto na babake huoni ni shida.. hili jambo lina mzizi .. ila wenye pesa wamezingua kinyama
Nasib angekua teja leo mzee abdul asingejulikana ila mama yake angekua anapambana mwananyamala kumchukulia dose
Sasa kawa maarufu na mwenye kipato mtamu
 
Nataka kujua kwahiyo mzee abdul hana mtoto hata mmoja na bi sandra?
 
Nasib angekua teja leo mzee abdul asingejulikana ila mama yake angekua anapambana mwananyamala kumchukulia dose
Sasa kawa maarufu na mwenye kipato mtamu
Pesa si maamuzi katika hati ya maisha ya mtu. Hakuna ajue kesho, bado mzee Nasib anabaki kuwa muhimu na mama nasib anabaki kuwa muhimu, wameshindwa tu kusamehana na kuchukuliana katika mapungufu yao. Ndio maana kuna kutupiana mpira
 
Kwahiyo mzee abdul alikua anakula mzigo tu hakubahatika kuzaa nae vi sandra hata mtoto mmoja sio
 
Ndo maana naipenda pombe.... Nkilewa naenda zangu kulala tu, haya mambo ya familia za wengine yatanivuruga akili
 
Diamond ndiye ana- entertain huu utoto labda kwa sababu anafaidika nao kwa namna moja au nyingine.

DNA test itamgharimu 200K tu pale kwa mkemia Mkuu.

Anakata mzizi wa fitna.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umewaza kama Mimi. Yaani ningekuwa Baba daimondi ningeweka bei elekezi kabisa. Kuhojiwa kila dakika ni laki mbili.
Kbsa lkn huyu mzee hajui kujiongeza
Anawashobokea wakina zamaradi,sjui global tv etc angewakaziaaa

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Kashachanganyikiwa
Labda mimi simfuatilii sana lakini huyu mzee hayupo kwenye kundi la wanaume wanaolazimisha kulelewa na watoto wao kisa wamepata utajiri. Pia sioni inawezekana vipi wewe mwanamke umpe mwanao jina la ukoo wa mwanaume ambaye si baba wa mtoto na ambaye hakumlea huyo mtoto huku oia akiikataa mimba ilhali baba halisi wa mtoto yupo na unamfahamu na amekuwa akimtembelea mtoto. Aliyechanganyikiwa atakuwa huyo mwanamke. Bika shaka.
 
Kbsa lkn huyu mzee hajui kujiongeza
Anawashobokea wakina zamaradi,sjui global tv etc angewakaziaaa

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Yaani anatakiwa awe na msimamo. Tena anakuwa na account benki wanamuwekea mpunga wake wote kabla ya kuhojiwa. Na anakuwa na stopwatch kabisa na mabodigadi. Muda ukiisha mabodigadi wanawafukuza waandishi na makamera yao mpaka waongeze mpunga benki. Mpaka sasa kwa bei ya laki mbili kwa dakika angeshapata 12m kwa lisaa. Na hizi youtube channel ndogondogo angepata 1m mpaka 3m kwa kuhojiwa tu. Na wale wanaompigia simu kumuhoji kwa dakika tano wangempa 1m. Angepata pesa yake kiurahisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…