Tusaidiane kwa hili.

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Jamani kwa hili naomba wanao jua sheria wa tusaidie. Kwa mfano by law iliyo anzishwa na chuo cha cbe kama inapingana na katiba ya nchi au haki za binadamu! Au pengine ni sawa kulingana na haki. Me mwenyewe nimeipenda sana hiyo by law! Naomba tusaidiane wana sheria kuna ubishi huku,kuwa uongozi wa cbe unawezwa kubuluzwa mahakamani kwa hili.
 

Wengine hatujui unaongelea nini.Kuna nini BCE?
 
Naomba tusaidiane wana sheria kuna ubishi huku,kuwa uongozi wa cbe unawezwa kubuluzwa mahakamani kwa hili.

Inawezekana lakini nadhani wanasheria watahitaji kujua facts ili waone kama kutakuwa na grounds za kufanya hivyo.
 
Wengine hatujui unaongelea nini.Kuna nini BCE?

Kuhusu kuvaa nguo fupi na za wazi kwa akina dada. Kwa kifupi mimi sio mwanasheria ila naijua katiba ya nchi na haki za binadamu uongozi wa CBE umeenda isivyo.

Labda nikupe mfano mmoja wa Tanzania ya Jakaya, Kibaha walipitisha azimio la kuwawekea label watoto wa shule wote wenye HIV/AIDS ili waweze kujulikana, ukiiangalia hii ni unyanyapaa na kuwaweka watoto walioathirika katika mazingira magumu sana.

Lakini kitu hiki kinaendelea kule hakuna wa ku point finger. My point ni kwamba mambo haya yanapoendelea kufanyika viongozi wako busy kujichukulia rasilimali za taifa they cannot see or understand.

Hivyo kwa serikali hii ambayo viongozi na watoto wao wako busy na kujenga mahotel kila nchi na kila mkoa hawawezi kuona haya. Ukitaka kuona sheria za nchi anza kujenga hotel yako mahali wanapotalka wao ndo utaziona sheria za nchi hii. Shame on them !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…