Jamani Kwa Mtu Kutokwa Na Vijipu Ni Dalili Ya Ugonjwa Gani Wa Zinaa?
Zinaa mbaya sana yaani ukiugua kidogo tu mapigo ya moyo yanaongezeka wakati huna Bp yoyote. Nenda kwanza hospital then ondoka kwenye hiyo jela ya zinaa. Utakufa siku si zako.
tehee teheee.....una candida mtu wangu..