Tusaidieni wanasheria watanzania wenzenu vijijini?

Tusaidieni wanasheria watanzania wenzenu vijijini?

ENGINEERSJYC

Member
Joined
Jul 22, 2011
Posts
6
Reaction score
2
mi ni afisa wa kata,leo nimekamata fataki kijijini kwangu,anamuoa mwanafunzi aliyefanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi wiki iliyopita,tafadhari tusaidieni wasomi wetu sheri inasemaje ili niweze kumtia hatiani hili fataki linaloharibu watoto na kuwambukiza ukimwi?
 
Back
Top Bottom