Tusali sala ya unyenyekevu;

zakaria ramadhani

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
228
Reaction score
163
Baba yetu ulie ikulu jinalako liogopwe utumbuaji wako uendelee na maisha yetu yazidi kua magumu, kama yale ya kabla ya uhuru! Utupe leo stahiki zetu ulizotuahidi baba, uwasamehe wasio kupigia kura, kama sisi tu vumilia na kusamehe pia! Usitutie moyo kwa maneno mazuri bali utukuokoe na ugumu wa maisha; kwakua utawala ni wako, mamlaka na nguvu milele na milele,,,,,, wote tuseme amen.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…