Tusameheni, tufikirieni, onesheni usomi wenu kisimbuzi cha Azam na TANESCO

lufungulo k

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2012
Posts
2,601
Reaction score
2,058
King'amuzi ninacholipia ni kile cha Tsh 25,000/= napenda sana kuangalia NBC PREMIER LEAGUE na vipindi vingine, lakini sasa huu mchuano mkali wa mgao wa umeme imebidi niombe Suluhu.

Wasomi wa Tanesco na wasomi wa Azam kaeni chini msugue BONGO zenu mje na suluhisho Tanesco mnanisaidia sana BILL ya umeme kipindi mmekata umeme haisomi.

Sasa wao AZAM wanahesabu siku zao uwe umeangalia vipindi au hukuangalia siku zikifika hakuna kuona vipindi. Yaani kwa mgao huu AZAM shusheni gharama au wekeni utaratibu wa matumizi kadiri unavyotumia .
 
Kwan hawawezi wakaweka mfumo kama wa LUKU au MB hao AZAM
 
Kwa kifupi iwe unalipia kadili unavyotumia... maana haiwezekani games nyingi huangalii ila ikifika tarehe basi kifurushi kinaisha huu ni wizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…