Tuseme hata maaskofu nao wanalamba asali?

Tuseme hata maaskofu nao wanalamba asali?

Tafakari yetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2021
Posts
1,505
Reaction score
4,427
Nakumbuka awamu ya tano lilikuwa likifanyika jambo lililogusa watu wengi mapadri, mashehe na maaskofu walijitokeza kulaani, leo wapo wapi?wamejificha wapi ingali bado tunawahitaji?

Leo kila kona watumishi wa Umma wanalalamika juu ya ongezeko la mishahara lakini wapo kimya, nini kimewakumbuka?

Je, ni kwamba nao Sasa wanalamba asali? Sikatai asali ni tamu lakini siamini Kama nao sasa wanalamba.

Jitokezeni muwafariji watumishi wa Umma, mioyo yao imejaa sononeko na maumivu makubwa ninyi ndio faraja yao Sasa ambako wanaona giza kwa Mungu amewatumeni kwetu na kwao.

Mungu awabariki nyote
 
Nakumbuka awamu ya tano lilikuwa likifanyika jambo lililogusa watu wengi mapadri, mashehe na maaskofu walijitokeza kulaani, leo wapo wapi?wamejificha wapi ingali bado tunawahitaji?

Leo kila kona watumishi wa Umma wanalalamika juu ya ongezeko la mishahara lakini wapo kimya, nini kimewakumbuka?

Je, ni kwamba nao Sasa wanalamba asali? Sikatai asali ni tamu lakini siamini Kama nao sasa wanalamba.

Jitokezeni muwafariji watumishi wa Umma, mioyo yao imejaa sononeko na maumivu makubwa ninyi ndio faraja yao Sasa ambako wanaona giza kwa Mungu amewatumeni kwetu na kwao.

Mungu awabariki nyote
Mliwapa mpaka kesi za uraia fake Leo unawatafuta? Wanhehamishiwa Burundi mlikotaka waende mngekuwa mnahoji kina nani?
 
Waliwapandisha madaraja, wakawapunguza kwa TOZO za miamala ma bei ya mafuta.

Wamewapa 23.3% wamesaini na TOZO za kutoa pesa bank na miamala yote.

Huko kote kuna VAT pia. Ni huyo huyo aliyetaka uraisi na aliyekuwa Makamu wa raisi.

Wanaupiga mwingi
 
Hivi mtaendelea kulalamika nyuma ya keyboard mpaka lini inawasaidia nini watumishi fanyeni kweli muda huu kuwasrilanka ccm na sisi tutakuwa nyuma yenu viongozi wenu wanafanya nini
 
Issue ya mishahara ya watumishi wa umma ni very complex, sidhani kama mtu mwenye akili kama mchungaji au shekhe anaweza kujiingiza kichwa kichwa never!

Mosi , watumishi wenyewe walishakua na matumaini na muajiri wao sasa uingilie kivipi!

Mbili, issue ya mishahara ni ya kisheria na maafikiano ya watu wawili, third party huwezi kurupuka tu!
 
Hakuna unachokijua. Hujui kuwa ongezeko la mishahara lina uhusiano na ukubwa wa Zaka na Sadaka?
Sadaka na Zaka zikiwa ndogo tutawasikia wakiongea. Nakumbuka kipindi Cha Korona watumishi wa Mungu walikuwa wanalia Sana ukata na wakawa wanahubiri Serikali kutofungia watu ndani
 
Nakumbuka awamu ya tano lilikuwa likifanyika jambo lililogusa watu wengi mapadri, mashehe na maaskofu walijitokeza kulaani, leo wapo wapi?wamejificha wapi ingali bado tunawahitaji?

Leo kila kona watumishi wa Umma wanalalamika juu ya ongezeko la mishahara lakini wapo kimya, nini kimewakumbuka?

Je, ni kwamba nao Sasa wanalamba asali? Sikatai asali ni tamu lakini siamini Kama nao sasa wanalamba.

Jitokezeni muwafariji watumishi wa Umma, mioyo yao imejaa sononeko na maumivu makubwa ninyi ndio faraja yao Sasa ambako wanaona giza kwa Mungu amewatumeni kwetu na kwao.

Mungu awabariki nyote
Guys tumeclewa sana. Huyu raisi atatufikisha mbali tunataka mafiga matatu ( lemutz, )
 
Watumishi wanazingua tu,mpini uko mikononi mwao wanashindwa ku act na kuja kutia huruma kwetu sie wagema ulimbo!?
Nalog off Z
 
Nakumbuka awamu ya tano lilikuwa likifanyika jambo lililogusa watu wengi mapadri, mashehe na maaskofu walijitokeza kulaani, leo wapo wapi?wamejificha wapi ingali bado tunawahitaji?

Leo kila kona watumishi wa Umma wanalalamika juu ya ongezeko la mishahara lakini wapo kimya, nini kimewakumbuka?

Je, ni kwamba nao Sasa wanalamba asali? Sikatai asali ni tamu lakini siamini Kama nao sasa wanalamba.

Jitokezeni muwafariji watumishi wa Umma, mioyo yao imejaa sononeko na maumivu makubwa ninyi ndio faraja yao Sasa ambako wanaona giza kwa Mungu amewatumeni kwetu na kwao.

Mungu awabariki nyote
Mashehe pia?
 
Nakumbuka awamu ya tano lilikuwa likifanyika jambo lililogusa watu wengi mapadri, mashehe na maaskofu walijitokeza kulaani, leo wapo wapi?wamejificha wapi ingali bado tunawahitaji?

Leo kila kona watumishi wa Umma wanalalamika juu ya ongezeko la mishahara lakini wapo kimya, nini kimewakumbuka?

Je, ni kwamba nao Sasa wanalamba asali? Sikatai asali ni tamu lakini siamini Kama nao sasa wanalamba.

Jitokezeni muwafariji watumishi wa Umma, mioyo yao imejaa sononeko na maumivu makubwa ninyi ndio faraja yao Sasa ambako wanaona giza kwa Mungu amewatumeni kwetu na kwao.

Mungu awabariki nyote
Si mlisema wanachanganya dini na siasa na wengine mkawa manawateka? Sasa wamejikalia kimya tena mnawalaum?
 
Nakumbuka awamu ya tano lilikuwa likifanyika jambo lililogusa watu wengi mapadri, mashehe na maaskofu walijitokeza kulaani, leo wapo wapi?wamejificha wapi ingali bado tunawahitaji?

Leo kila kona watumishi wa Umma wanalalamika juu ya ongezeko la mishahara lakini wapo kimya, nini kimewakumbuka?

Je, ni kwamba nao Sasa wanalamba asali? Sikatai asali ni tamu lakini siamini Kama nao sasa wanalamba.

Jitokezeni muwafariji watumishi wa Umma, mioyo yao imejaa sononeko na maumivu makubwa ninyi ndio faraja yao Sasa ambako wanaona giza kwa Mungu amewatumeni kwetu na kwao.

Mungu awabariki nyote

Hao watumishi wa Mungu walikuwa wanapambana na shetani wakati huo wa awamu ya tano.
 
Back
Top Bottom