Mimi nimesoma shule za kata.Hata chuo (IFM) ni kama cha kata!Lakini shuruba katika ufaulu wangu nazijua mwenyewe.
Hapa nataka kusema tuliosoma kule sio kwamba hatuko vizuri kichwani, NO tuko vizuri,ila inalazimu ufanye jitihada kubwa kwenda sawa na wa ki-Mery mery!
Huko kila kitu duni, ila ni kwa sababu umaskini,hakuna namna. Nina uhakika hakuna mtu anayependa mwanae au nduguye asome shule hizi!
Kila mwenye kanafasi anafanya awezalo kumtupa mwanae hata angalau kashule ka milioni apate uelewa! Nadhani lengo lilikuwa zuri,ila kwa kuwa CCM ina hulka ya kushindwa, ikaona isiwe tabu.