Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Nchi yetu imebarikiwa kuwa na mifugo mingi husasani nguruwe ila kutokana na wingi ng'ombe uonekana mboga kubwa kwa maitaji ya kila siku na wanyama wengine.
Kuna nchi ambazo ng'ombe ni wachache ukilinganisha mbuzi, kuku, samaki na nguruwe. Tuje nchini China, Korea, Taiwan, Cambodia, Vietnam, Japan na n.k hawa jamaa wanakula nguruwe sana yani kila kona ya migahawa ni nguruwe.
Huko mbeleni siku idadi ya ng'ombe ikipungua na ufinyu wa ufugaji basi nguruwe anaweza kuwa mbadala wa mboga kubwa.
Karibu biriani la kitimoto hapa
Kuna nchi ambazo ng'ombe ni wachache ukilinganisha mbuzi, kuku, samaki na nguruwe. Tuje nchini China, Korea, Taiwan, Cambodia, Vietnam, Japan na n.k hawa jamaa wanakula nguruwe sana yani kila kona ya migahawa ni nguruwe.
Huko mbeleni siku idadi ya ng'ombe ikipungua na ufinyu wa ufugaji basi nguruwe anaweza kuwa mbadala wa mboga kubwa.
Karibu biriani la kitimoto hapa