Tuseme ukweli Nguruwe ni mbadala wa ng'ombe

Tuseme ukweli Nguruwe ni mbadala wa ng'ombe

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Nchi yetu imebarikiwa kuwa na mifugo mingi husasani nguruwe ila kutokana na wingi ng'ombe uonekana mboga kubwa kwa maitaji ya kila siku na wanyama wengine.

Kuna nchi ambazo ng'ombe ni wachache ukilinganisha mbuzi, kuku, samaki na nguruwe. Tuje nchini China, Korea, Taiwan, Cambodia, Vietnam, Japan na n.k hawa jamaa wanakula nguruwe sana yani kila kona ya migahawa ni nguruwe.

Huko mbeleni siku idadi ya ng'ombe ikipungua na ufinyu wa ufugaji basi nguruwe anaweza kuwa mbadala wa mboga kubwa.

Karibu biriani la kitimoto hapa
 
Hapo wengine tutalazimika kula mbogambogq, samaki na kuku
 
Kuna hoteli ya wachina pale Zanzibar stone town inaitwa pagoda Chinese restaurant, basi nilikuwa nakula Sana nguruwe, nyoka, chatu, chura, kono kono, tandu. 😃😃😃😃 Tamu Sana
 
Kumbuka kua muanzishaji mada ni kaka yake shetani
 
Unlike other species like camels, nguruwe in 8 months yuko tayari kuliwa. Hali hii humfanya kuwa most suitable to feed the highly growing human population. By the way, more than 70% ya mboga inayoliwa duniani ni nguruwe.
 
Unlike other species like camels, nguruwe in 8 months yuko tayari kuliwa. Hali hii humfanya kuwa most suitable to feed the highly growing human population. By the way, more than 70% ya mboga inayoliwa duniani ni nguruwe.
Wewe jamaa unatafuta ugomvi na wala ngamia
 
Wewe jamaa unatafuta ugomvi na wala ngamia
My point was kuonesha umuhimu wa nguruwe kwa maisha ya binadamu kulinganisha na jamii nyingine za wanyama. By the way, nguruwe anastawi mazingira almost yote that's why ameenea duniani kote.
 
Back
Top Bottom