waungwana wote nadhani wakati umefika wa kurejea eden kwa maana hii dunia imekuwa ya wajanja,kila mtu anazijua fedha matangazo mengi magazetini,radioni, luninga n.k dawa hizi ktk hospitali zetu watu wako kibiashara zaidi mgonjwa aweza kwenda akiwa nafuu akapewa dawa zilizochakachuliwa akazidiwa zaidi,lakini mimi napendekeza tusiache kwenda hospitali eti kwa sababu tu ya tiba mbadala tutakwisha kwa dawa zisizo na vipimo bana.
Si lazima Aloevera, kuna madawa kama Atermisia, tangawizi, limao, ndimu, vitunguu swaumu n.k
Unatjichanganya, mara turudi eden, mara tutumie dawa zenye vipimo! Umelewa nini?
Kwangu mimi, Kipaumbele cha kwanza ni KAZI.Baada ya hapo nitaweza kukidhi yanayofuata kama vile1. Msosi wa familia 2.watoto waende shule3.mahali pa kulala4.niiburudishe nafsi yangu na ya mke wangu na wote wanaohusika kwa namna moja au nyingine na burudani.5.afya ni ya mwisho. (sometimes afya ni athari za kisaikolojia, ukiona kwamba ukila chakula kisichokuwa cha moto utaumwa tumbo, itakutokea kweli)We understand that health should be the number one priority to everybody and we are taking this matter very serious. Western medicines have provided a significant revolution in the medical world but due to their higher content of harmful chemicals, they therefore bring about side effects to consumers. This is the main reason we at Precious Clinic decided to concentrate on alternative medicine, to release the harmful chemical burden to our customers. Precious Clinic has qualified personals: expertise in alternative medicine, physiotherapist and nutritionist. We combine the knowledge of our staff and our high technology equipment to provide the best service to our clients. We make a Difference, in what we do. Virtually anyone can benefit from our services. We help people who want to prevent themselves from getting preventable diseases and also those have particular health conditions like diabetes, hypertension, HIV etc. the following are the services we are offering: ➢ Health consultation ➢ Diseases diagnosis high tech equipment ➢ Natural treatments ➢ Detoxification ➢ Therapeutic Massage ➢ Beautification ➢ Nutritional Consultation ➢ Family programs ➢ Health seminars to cooperate companies Our Clients Precious Alternative Medicine Clinic has a lot of services, everyone can benefit from our services as follows: ➢ Diabetes patient will get natural medicine, the medication will help the performance of pancreas and hence the insulin production. ➢ People living with HIV virus (PLWH): ➢ People who experience chronic Fatigue ➢ People who experience chronic headaches ➢ Overweight ➢ People who suffer from liver problems etc.CONTACT US 0754 - 401969 / 0659131305
Nimewaandikia watu wote wapate kusoma.Watanzania wengi leo afya is even not a secondary issue, wamekuwa ni watu ambao Wanazoea maradhi na kuwayachukulia maumivu mbalimbali ya mwili kama mambo marahisi na mepesi.
mwisho wa siku mtu anagutuka akiwa na afya mbaya sana, au tatizo limekuwa sugu kupita kiasi.
Precious Clinic inathamini afya ya kila mtu na kuamini afya is number one issue to be looked at.
Unaweza kuwa na kila kitu,lakini kama una afya nzuri wewe, au una mtu unauguza, kila kitu ulichonacho chaweza kuyeyuka.
Wanajamvi ni wakati muafaka sasa kuthamini afya zetu na kuzipa kipaumbele, ili kupunguza magonjwa sugu na premature death nk. Tujue umuhimu wa kuchunguza afya zetu kwa faida yetu wenyewe na taifa letu.
Yatupasa kukumbuka kuwa nguvu kazi nyingi inapotea leo,kwa sababu watu wengi hawana afya nzuri.
sema wa2 wengi ha2na afya nzuri.
sawa kabsa limao ni kinga na dawa nzuri ya mafua mimi nimesahau vidonge.Hata majani mabichi ya bhange ni dawa ya sikio linalotoka usaha, this is fo sho. Chai ya rangi ukiiweka limau ni dawa ya mafua na kikohozi, pia pumzi kubana.
Ala?
Tulipofikia leo watanzania,ni lazima tukumbushwe hata ula.
Gambachovu,hatutangazi kwa kutaka biashara,hapana,tunafanya hivi kama awereness,angalau watu wachukue hatua tupunguze hali iliyopo leo ya watu kuwa na magonjwa sugu yasiyokuwa na majina.
Chukua hatua na jitengenezee utaratibu wa kupima afya yako,itakusaidia sana.
leo tunalalamika nchi inayumba,watu wanaumwa akili,ubongo zao hazifanyi tena kazi kama inavyotakika.
Inawezekana ukawa sahii kwasababu moja au nyingine.Lakini niseme tu ndivyo inavyosikika kwa walio wengi.
tabia hii imewafanya watu wengi kudharau kupima afya zao.Naomba tusizungumze kwa hisia,tulipofika leo, kila Mtanzania anapaswa kujali afya yake kwa uthamani sana.
Inawezekana leo unajibu hivi kwa sababu hujaumwa wala kuuguza,na tuzingatie kitu hapa,swala si dawa flani bali swala ni je unamazoea ya kuchunguza afya yako?kama sivyo karibu Precious.
Clinic nyingi sasa hivi mpo after money sana,
Naweza kuja hapo kwako kwa check up tu ukanichaji LAKI,
Na tiba yenyewe inakua ya kisani sanii sana.
Karibu kwangu nikupe dozi ya Alovera ni kiboko.
Binti Maringo You are very right Nigerian girl.You arevery right!...Majority ya clinic plus Hospital are after money..yaani unampeleka mtu mgonjwa hospitali like totally in critical condition badala ya kumtibia they ask you for monnie first who does that...anza kumtibia mgonjwa then ask for monnie later!...Basically hospital/clinic their all about business and not the life saving of the human being!....rudiculously crazy!
alternative medicine ni supplementary medicine.
Tulipofikia leo watanzania,ni lazima tukumbushwe hata ula.
Gambachovu,hatutangazi kwa kutaka biashara,hapana,tunafanya hivi kama awereness,angalau watu wachukue hatua tupunguze hali iliyopo leo ya watu kuwa na magonjwa sugu yasiyokuwa na majina.
Chukua hatua na jitengenezee utaratibu wa kupima afya yako,itakusaidia sana.
leo tunalalamika nchi inayumba,watu wanaumwa akili,ubongo zao hazifanyi tena kazi kama inavyotakika.