Habari wakuu
Kama heading ilivyo hapo juu embu tuambiane wewe unalimia meno kwa mtindo gani.
Mimi na jua hili kali na joto kama New Delhi nalimia meno kwnye maeneo haya ya kimaisha, (masomo, mapenzi, pesa ndo usiseme) hizi ni changamoto nakumbana nazo daily.
Watu ni tofaut inawezekana wewe unakumbana na matatizo ya kifamilia, kibiashara, au hata kazini.
Embu tujuze namna unavyolimia meno.