Tushee kidogo

Tushee kidogo

Umuzukuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2019
Posts
617
Reaction score
552
Wakuu hivi ni Jambo gani ulilowahi kufanya utotoni...ukiwaza unabaki kucheka tu????

Mimi binafsi kutokana na kukulia bushi chini ya miaka kumi Gongo haikuwahi kuniletea wenge kabisa,home ilikuwa inaandaliwa hivyo pegi za hapa na pale Kama kawaida.....skuli nilikuwa natesa japo utoro kimtindo haukutaka kunileave kirahisi kiasi ikawa Kama gear ya kupendwa na walimu(katika kuniasa niache utoro kwani nilikuwa tegemezi pale skonga)......madam Vero nakusalimia,madam lrene.......

kwa Leo niishie hapa
wakuu hebu fungukeni....
 
to be able to make sure that you can be a good day to you and your wife and children and adults alike are not the only thing is to have a good time with

"And the best that you can hope for
Is to die in your sleep."(Others ar usless)
 
Back
Top Bottom