badest man
New Member
- May 12, 2020
- 4
- 0
Mimi ndo nilitia sign hiyo hati milki yakoMm ndiye mwenye hati miliki ya kumikiki watoto wote wazuri wa JF.
Mimi ndo moderator...nakupiga burnNingekuwa Moderator huu uzi ningeufutilia mbali.
Siogopi "burn" labda unipige "ban".Mimi ndo moderator...nakupiga burn
Sasa nani alikuua kati ya hao wawili wanaobishana ?Me ndo osama
Acha uongo. Wewe ni melo, waziri mkuu ni weweMimi Waziri mkuu
Mimi ndiye niliye mwaga pombe ya Madee
πππππππTangia 1980's nafanya kazi ya kuvuna ma Apple then yanawekwa kwenye Iphone yakisha megwa na #MO11
Hahah aiseeLile fuvu la olduvai ni la kichwa changu. Kesho namtuma kigwangala anirudishie nimechoka kushikia ubongo.