Tushirikiane kufanya biashara faida tutagawana

Tushirikiane kufanya biashara faida tutagawana

dip pub

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2014
Posts
389
Reaction score
74
Habari wakuu

Mimi ni mjasiliamali ninayeanza, niko na kampuni ya Madawa iliyosajiliwa na nyaraka zote zipo, na ninapatikana Dar es Salaam.

Kuja kwangu hapa ni kutafuta mtu ambaye atakua tayari tushirikiane kusupply vifaa tiba(Medical equipment) kwenye moja ya hospital za hapa Tanzania, kwani tayari nimeomba tenda na nimeshaipata pamoja na LPO(ambao ndo mkataba) tayari nimepewa, nilipokwama ni mtaji kama nilivosema hapo juu mimi ni mjasiliamali ninayeanza so hata mtaji bado ni mdogo, maana kuna kazi nyingine nimeipata imekua vigumu kugawanya mtaji mdogo kwa kazi mbili kwa pamoja.

Kwa yeyote atakaye kuwa tayari ninamkaribisha PM kwa maelezo na maswali mengine pale ambapo atahitaji kujua zaidi.

NB.
Faida tutagawana kulingana makubaliano tutakayoyaweka baada ya kutoa mtaji(Capital)

Natanguliza shukurani.
 
Ukiwa na kampuni na kila aina vibali vinavotoka mamlaka na benki nayo wajue kampuni.
unaweza kupewa dili la Milioni 200 na LPO unazo kila kitu safi unapeleka benki kila mtu anachukua chake.ila hakikisha kuwa mtu wa watu na pesa zako kwa watu ili utusuwe
 
Ukiwa na kampuni na kila aina vibali vinavotoka mamlaka na benki nayo wajue kampuni.
unaweza kupewa dili la Milioni 200 na LPO unazo kila kitu safi unapeleka benki kila mtu anachukua chake.ila hakikisha kuwa mtu wa watu na pesa zako kwa watu ili utusuwe
Mpaka nakuja hapa nimeshaenda bank, bank wanatoa lakini lazima niwe na dhamana.
 
Habari wakuu

Mimi ni mjasiliamali ninayeanza, niko na kampuni ya Madawa iliyosajiliwa na nyaraka zote zipo, na ninapatikana Dar es Salaam.

Kuja kwangu hapa ni kutafuta mtu ambaye atakua tayari tushirikiane kusupply vifaa tiba(Medical equipment) kwenye moja ya hospital za hapa Tanzania, kwani tayari nimeomba tenda na nimeshaipata pamoja na LPO(ambao ndo mkataba) tayari nimepewa, nilipokwama ni mtaji kama nilivosema hapo juu mimi ni mjasiliamali ninayeanza so hata mtaji bado ni mdogo, maana kuna kazi nyingine nimeipata imekua vigumu kugawanya mtaji mdogo kwa kazi mbili kwa pamoja.

Kwa yeyote atakaye kuwa tayari ninamkaribisha PM kwa maelezo na maswali mengine pale ambapo atahitaji kujua zaidi.

NB.
Faida tutagawana kulingana makubaliano tutakayoyaweka baada ya kutoa mtaji(Capital)

Natanguliza shukurani.
UMUGHAKA eti hapa unanipa ushauri gani ukikumbuka jamaa wako wa Kivule? Ha ha ha ha
 
Back
Top Bottom