Tushirikiane mafundi na wateja

kagombe

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2015
Posts
3,615
Reaction score
1,805
Nimeamua kuanzisha group ili liwe msaada kwetu mafundi na wateja kwa pamoja.ili litakua group la kusaidiana kutatua matatizo ya kiufundi na ushauri vifaa vinapopatikina kwa urahisi ila la kuzingatia tusiwe wajanjawajanja tufanyeni kazi.
Simu software vs hardware tutakua tunaweka solution zake
Computers tunaweka solution
Tv music tutaweka solution
Karibuni kwa ushauri tushirikiane
Link hiyo hapo chini

 
Ingekuwa telegram group ningejiunga
 
Okay, vizuri
 
Nitachukua hii link maana huwa napambana na changamoto mbali mbali, thank's.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…