hata mimi hilo tatizo lishawahi kunikuta nilichofanya ni kudowload application nyingine play store then ikawa freshSimu yangu haiconect WhatsApp inasema network error lakini web zingine nafungua nimeclear data lakini hakuna tofauti
@hanspol
Wewe fungua tu lucky patcher kisha tafuta hiyo go sms kisha long press itakuja menu ina vipengele mabali mbali kikiwemo na hicho cha kuifanya iwe premiumsimu yangu ipo rooted na apps za lucky na busy ninazo maelekezo kidodo nafanyaje hapo kuifanya premium
Ubarikiwe bro ngoja nifanye hivyo nitaleta mrejeshoWewe fungua tu lucky patcher kisha tafuta hiyo go sms kisha long press itakuja menu ina vipengele mabali mbali kikiwemo na hicho cha kuifanya iwe premium
Hatua kwa picha
Long press gosms hadi ije menu hii
Chagua custom patch
Chagua hiyo option ya kwanza au ya juu
Chagua Apply kisha subiri ikimaliza funga lucky patcher kisha ka open hiyo gosms.
Mkuu binafsi najaribu kukuelewa lakini sikupati.Hivi kweli kuna app ya kuongeza ukubwa wa nafasi ya simu yangu?
Simu yangu ni huawai G play mini ya 4G na cd ni 4G nataka ukubwa zaidi. Msaada tafadhali wapendwa
Heeee?! Big up mkuu, hii app noumer sanaa,.Hii ni tv apps yani kama una tv yako nyumbani unaweza ona haina maana mkuu kila tv chanel bomba ipo kuanzia mtv mpaka sky sport za football zipo mi saiv siendi tena kukesha kwenye mabanda kisa ligi ..
Ipi hiyoHeeee?! Big up mkuu, hii app noumer sanaa,.
Inazungumziwa mobdroIpi hiyo
Mobdro app, ni soo kama wapenda vipindi vya televisonIpi hiyo
Best App ni Luckypatcher.
-Lucky Patcher kwenye android itakusaidia , kuondoa matangazo,break different apps' Android Market License Confirmation or other Confirmations for the applications. Unahitaji kuwa rooted.
Mfano,uki download kitu program ambayo si premium kwenye Android baada ya kuinstall fungua lucky patcher tafuta hiyo program ,open menu of patches, patch utapata premium version.
Vile vile games zote you can hack them for free.
IPO playstorekuna application inaitwa GET APK MARKET kama unataka kudownload premium apps zoooote utazipata hapo freee
Mkuu app nyingi zenye asili ya figisu, huwezi zipata playstore.IPO playstore
Mkuu nimefata njia zote hizi nikitaka nova laucher ije kuwa nova laucher prime lakin baada ya kumaliza iyo process naona bado iko vile vile tuWewe fungua tu lucky patcher kisha tafuta hiyo go sms kisha long press itakuja menu ina vipengele mabali mbali kikiwemo na hicho cha kuifanya iwe premium
Hatua kwa picha
Long press gosms hadi ije menu hii
Chagua custom patch
Chagua hiyo option ya kwanza au ya juu
Chagua Apply kisha subiri ikimaliza funga lucky patcher kisha ka open hiyo gosms.
Si kila app inachakachuliwa kwa njia hiyo, zingine unakuta security yake ni kubwa, hadi trick nyingine...Mkuu nimefata njia zote hizi nikitaka nova laucher ije kuwa nova laucher prime lakin baada ya kumaliza iyo process naona bado iko vile vile tu
Mkuu me kwangu nimejarbu pia imegoma pia sijaelewa hio busy box ni ipi Nieleweshe apo mkuuIla mbona mm nimejaribu imekubali mkuu
Long press hiyo nova launcher kisha chagua custom patch
Chagua hiyo inayo anza na JASI hiyo ya mwanzo kisha apply
NB hakikisha busy box ipo active