Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Wakuu simu yangu j8 nimeroot kwa kingroot ila kumove app to sd card inagoma
 
Wapenda Rugby hili fanitical American football game ni bomba sana ukicheza hili game utaburudika sana nenda playstore utaliona
 
Wakuu yangu bado iko hivi ndo ina root au ?
hiyo imegoma hapo kwenye alama !nyekundu kulitakiwa kuwe na tiki kàma kwenye post yangu hapo juu na maneno root successfully
[HASHTAG]#2850[/HASHTAG] au kucheki kama simu yako imekubali kuroot unaweza kudownload root checker basic ipo playstore
 
Jins gan naweza kuhuck namba ya mtu nikaona mawasiliano yake
pitia hapa mimi binafsi imenisaidia
Junior Hamis, post: 19648984, member: 167548"]ngoja ninaribu kuelekeza japo kwa kifup.... hapa ki2 cha kwanza inabidi kutumia simu ya mhusika yaani (victim phone) ukishakuwa nayo ingia kwenye browser serch www.mobile-tracker-free.com baada ya hapo install hyo app... ingia setting, security then select unknown source ili kuruhusu installation of apk..... then ... ukishamlza ku download then create account by using email baada ya ku create account italeta hapa select unavyohtaji kama ni sms, photos, recorded call audio, location nakadhalika kwa wale ambao wana rooted devices unaweza select social networks pia kama Facebook na whatsapp and others then log in weka tick kwenye to accept agreement the log in italeta hivi select then select social networks for rooted phone the after pls wait itakubali hiv theb baada ya hapo umemalza utakuwa una log in kwenye website www.mobile-tracker-free.com kwa kutumia device yoyote utakuta kila ki2 kama hivi then kama ni audio za call na vingine..... nawasilisha[emoji26] [emoji26] [emoji26] [emoji26] nb:do this at your own risk.... sihusiki na ndoa ya mtu...
 
ween
Haya ndio maelekezo halisi lakini hadi ushike simu ya muhusika, na hakikisha hiyo simu ya muhusika iwe na bando all time ili data iwe on. Bila hivyo text zingine utakuwa huzipati.
 
Sijaona option ya kuingiza namba za simu za muhusika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…