Furah Mshoro
Member
- Aug 15, 2016
- 19
- 8
Asante mkuuBofya hiyo link kisha skip ad alaf download hiyo app alaf fuata maelezo
IG HOOT
Uliroot kwa njia ganiJaman n app gan yakuweza Ku unroot android phone
Kuna app ya kuondoa inaitwa adclearJamani nina shida ya ads kutokea kwenye simu yangu kila mara hadi imekuwa kero..naomba mwenye msaada w kuondoa ads totally...
Inapatikana playstore mkuu?Kuna app ya kuondoa inaitwa adclear
Safi hii inanifaa mimi mvivu wa kuingiza vocha aiseee acha nikaichungulieAirtime Scanner – Applications Android sur Google Play
Tumia hiyo App kuingiza voucher baada ya kukwangua.
1. Fungua App kisha fuata maelekezo ya setting.
2. Kwangua vocha kisha weka nyuma ya camera ya sim, app ita scan zile namba.
3. Ingiza kiasi cha vocha mfano 500, au 1000 nk kisha ok.
Utajibiwa kuwa umeongeza kias kadhaa salio lako ni kiasi kadhaa.
Google translateni app gani inaweza kuconvert msg ya kiswahili to english
Mfano nikaandika text nzima ikabadili from swahili to english?
mfano nikiandika habari nzima.iwe na uwezo wa kutranslate yoteeeGoogle translate
JiraniikGoogle translate
Mkuu vitu vizur vinagharamiwa mkuuapp gani ya kuangalia tv channels ambayo haili mb sana? hata km inaonyesha video format ya 3g. low quality au mp4. ila.isiwe inakula mb
ni app gani inaweza kuconvert msg ya kiswahili to english
Mfano nikaandika text nzima ikabadili from swahili to english?
Huwezo upo mkuu inaweza translate mpaka kichina ni wewe tumfano nikiandika habari nzima.iwe na uwezo wa kutranslate yoteee