kaisilitangalila
Member
- Jul 1, 2015
- 41
- 14
walitoaje kakaTigo waliitoa wenyewe niliwapelekea simu
mbetnatafuta app nzuri ya kutabiri mpira
Kwa kweli sikuuliza, niliwapa baada ya dkk 10 ikawa tayariwalitoaje kaka
Uliwahi kufanya bacbup? Tuanze na hapo kwanzaNdugu wanajukwaa, nimefuta mafaili niliyokuwa nimehifadhi ndani ya simu ya Samsung J1 ACE kwa bahati mbaya, inaniuma sana! Naomba mtu mwenye maujanja ya ku-RECOVER files hizi anisidie tafadhali.
Jaribu ku download apdated version mkuuSawa mkuu
Nzr xanaVidmate ipo playstore! Ni nzuri ya kudownload chochote YouTube....
Nifanikiwe bila link toen link basulifanikiwa???
walitoaje kaka
Its the latest,upAte mkuuJaribu ku download apdated version mkuu
Ni latest version mkuuJaribu ku download apdated version mkuu
Fanya hivi ingia hapo hapo kwenye lucky patcher kisha gusa vidoti vitatu hapo juu upannde wa kulia kisha italeta options mbili ambazo ni (download custom patches,settings) gusa download custom patches kisha itaanza kudownload halafu ikimaliza jaribu tenaNi latest version mkuu
ntafute fbNifanikiwe bila link toen link bas
Wehu wanazidi kuongezeka JF.Yeifhtyhhuuk
Auto call recorder ipo playstore mkuuWanajukwaa
Call recorder app gani nzuri??
Naombeni msaada wenu na kama una link ingekuwa fresh zaidi ukitupia hapa
Natanguliza shukran zangu
Cc hans pol
Mkuu unatumia simu yenye android version gani?Wanajukwaa
Call recorder app gani nzuri??
Naombeni msaada wenu na kama una link ingekuwa fresh zaidi ukitupia hapa
Natanguliza shukran zangu
Cc hans pol
Android version 6.0 nimejaribu nyingi za playstore naona zinarecord mara zinaacha yaan hazipo consistentMkuu unatumia simu yenye android version gani?
Maana kuanzia lollipop huwa zina tabia ya ku stop app zinazo run muda wote so kuna muda ina weza i record calls kuna muda isi record
Aptoide - Android Apps Store
nimeidownkWakuu tuambizane katika experience ya apps zipi ambazo unaona bila hizo huwezi kuona thamani ya simu yako...
Mi naanza na mobdro app noma sana
Link ya kudownload MOBDRO
Charlie mobdro.apk
============
Kufanya backup ni kufanyaje mkuu? Nakumbuka wakati nabadili simu kuna jamaa mmoja alininyonya meseji zangu za whatsap, media na photos zilizokuwa kwenye simu ya awali zikaingia ndani ya simu hii mpya. Hii ndio backup mkuu?Uliwahi kufanya bacbup? Tuanze na hapo kwanza
Kufanya backup ni kufanyaje mkuu? Nakumbuka wakati nabadili simu kuna jamaa mmoja alininyonya meseji zangu za whatsap, media na photos zilizokuwa kwenye simu ya awali zikaingia ndani ya simu hii mpya. Hii ndio backup mkuu?Uliwahi kufanya bacbup? Tuanze na hapo kwanza