Wewe ni kilaza kweli kwa yeye alieyetengeneza hiyo blarkmark si ili itumike kipi kigeni sasa hapo.Huu ni wizi. Sio jambo jema wenzio wametoa jasho ku develop app halafu wanaweka sehemu wanauza, ww unataka utumie bure. Lau mtandaoni ingekuwa ni kariakoo wewe na wenzako mnaoiba mgeshachomwa moto. Tujifunze kuwa waadilifu sio tunafurahia watu wanavotobolewa majipu wakati sisi wenyewe sio waadilifu. Tujitathmini.
Hapo kwenye unzip application cjaelewa maana nimefungua ggleplay zimekuja unzip nying tuWewe ingia play store andika psp emulator yoyote itakayokuja download then download unzip application ukisha vipata bitu hivi. Ingia ktk browser yako yoyote ingia google andika freeroms. Fungua iyo site zen pembeni kwenye rangi ya blue kuna kila aina ya consoler game chagua portable plastation game zen ingia kwenye izo Alphabet chagua game unalotaka download zen unzip. Enjoy
Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
Tafuta videoder, au tube mate kwa google sio playstore.
mkuu nimeiroot na nimeondoa baadhi ya pre install app lakini bado sina ROM ya kutoshaRoot hiyo simu kisha ondoa baadhi ya pre install app.
Simple way.
Hans Pol
si kuondoa pre installed apps kwa kuwa hata ulizoinstall ww kwan si pre-install pia? bali blotwares yaani apps zilizokuja na simu ambazo hazina faida yyte zaidi ya kujaza space ya simu tu kwa mfano unakuta kuna facebook ina kama 150mb imekuja na simu unaweza ifuta hiyo kisha ukainstall facebook lite ambayo ina 5mb uka save space .mkuu nimeiroot na nimeondoa baadhi ya pre install app lakini bado sina ROM ya kutosha
Android yangu ni jellbeans
kwa hyo mkuu jellybeans siwezi tumia ROM kwa memorycard?si kuondoa pre installed apps kwa kuwa hata ulizoinstall ww kwan si pre-install pia? bali blotwares yaani apps zilizokuja na simu ambazo hazina faida yyte zaidi ya kujaza space ya simu tu kwa mfano unakuta kuna facebook ina kama 150mb imekuja na simu unaweza ifuta hiyo kisha ukainstall facebook lite ambayo ina 5mb uka save space .
haiwezekani hiyo ki2 ni kwa mashmallow 2 hata nourgat haina option hiyokwa hyo mkuu jellybeans siwezi tumia ROM kwa memorycard?
thanks mkuu umenitoa tongotongo nilijua nakoseahaiwezekani hiyo ki2 ni kwa mashmallow 2 hata nourgat haina option hiyo
Msiwe wavivu kupatia nyuzi, ilishatolewa huko comment za nyumaNaombeni link ya Mobdro
Sawa mimi ni mvivuMsiwe wavivu kupatia nyuzi, ilishatolewa huko comment za nyuma
Chaliii,wewe Ndio mwenye shida. Kunipigia mie ngonjera na mashairi,na uvivu wako havitakusaidia kitu.Sawa mimi ni mvivu
Ila wewe usiye mvivu umeshindwa kuweka link
Post zipo nyingi siyo rahisi kupitiapitia pia kuna link orijino na magumashi
Sawa mchapakaziChaliii,wewe Ndio mwenye shida. Kunipigia mie ngonjera na mashairi,na uvivu wako havitakusaidia kitu.