Mkuu msaada jinsi yakutumia true caller plzTumia true caller
Umekwama wapi bossMkuu msaada jinsi yakutumia true caller plz
Nimeshaidownload lakin sijafahm jinsi wakuweza kuangalia namba ngeni kuwa ni nani kwakuniletea jinaUmekwama wapi boss
Pia haya kuangalia mwingine amenisave vipi kwenye simu yakeUmekwama wapi boss
Mkuu msaada wako pia naweza kuroot simu yangu tecno cx bila kuniletea shida? Pia nitumie rooter ipi ambayo itakua nzuli kuitumia.natanguliza shuklan mkuuKuna kinguser na super user
Kingroot sishauri
Tumia framaroot au njia yyte ya chainfire huyu jamaa ndo mkali wa kucheza na Samsung
How to Root TECNO Camon CX C10 and Install TWRP RecoveryMkuu msaada wako pia naweza kuroot simu yangu tecno cx bila kuniletea shida? Pia nitumie rooter ipi ambayo itakua nzuli kuitumia.natanguliza shuklan mkuu
Asante mkuu ngoja nipitie huko
Mkuu naweza install aptoide kama sijaroot simu kama ndio nipe link niipakue nizid enjoy maishaMobizen me ndio naona iko vizuri, inapiga kazi hatari for both rooted and unrooted devices....
Jibu ni ndio linkMkuu naweza install aptoide kama sijaroot simu kama ndio nipe link niipakue nizid enjoy maisha
Hii itafanya kazi endapo muhusika nae ana smartphone na anatumia hiyo true caller...Pia haya kuangalia mwingine amenisave vipi kwenye simu yake
Asante mkuuHii itafanya kazi endapo muhusika nae ana smartphone na anatumia hiyo true caller...
Jibu ni ndio link
Aptoide 8.5.1.4 Download APK for Android - Aptoide[/QUOTE
Hiyo ni shughuli pevu mkuu...Mkuu hebu tupia na apps ambazo ni za kunua playstore hukututazipata bure
tubi tv iko vizuri na movie zao zimepangwa kwa mpangilio mzurinahitaji app nzuri kwa kucheki movie bila zengwe
https://onhax.me hii website ni hatari kwa kua na cracks nyingi sana za paid apps na games latest, ila hakikisha unaifungua kwa kutumia chrome browser au browser nyingine tofauti na uc browser ambayo ina allow JavascriptNi website gani ya kupata latest paid apps for free? Hapa sihitaji apps nyingine nazungumzia website
Appyhider naye iko vzur tu mm ndo ninayoitumia halfu uzur wake unaweka na ulnz kweny hzo app ambazo umezificha ili MTU mwingine asiweze kufunguaHivi wakuu ni app gani inaweza kuhide app zingine zisionekane katika screen
tHL app. Hii app ina masomo yote primary mpaka secondary. Ni app muhimu sana kwa elimu. tHL 2.0 Revised edition - Android Apps on Google PlayWakuu tuambizane katika experience ya apps zipi ambazo unaona bila hizo huwezi kuona thamani ya simu yako...
Mi naanza na mobdro app noma sana
Link ya kudownload MOBDRO
Charlie mobdro.apk
============