MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,727
- 6,615
Mr Tatizo ni hiz sim za kupangusa!
Nilimaani msishie tu kwenye android mtu kumbuka watu wa IOS ya iPhone
MobizenSasa mkuu wee unashauri ipi labda iko okay kwa upande wako kiongozi...?
Utakuwa umerestrict background datajamani nashindwa kudownload application kutoka play store
inaniandikia VERIFIED BY PLAY PROTECT
msaada please
Terrarium TVApp kali ya kupakuwa movies kwa android n ipi
Acha mambo ya hack watu kitoto msisubutu ku downlod app hiiUpo uzi humu ulishawekwa siku nyingi au tembelea Mobile Tracker Free | Cell Phone Tracker App | Monitoring App for Android Smartphone
Ila tambua kuingilia privacy ya mtu ni kosa la jinai.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]App ya kuzuia vyuma visikaze?
ahsante sana mkuuUtakuwa umerestrict background data
Kama unatumia Samsung nenda setting>>data usage >options>disable>OK
Pamoja sana mzeeahsante sana mkuu
nimefanikiwa
Nmeikibali mkuuVocha master ipo poa ku scan vocha namba ingia google play tafuta vocha master
Asante sana! Tafadhali share na wenzako na ku rate 5 stars google play kama hutajali lakini [emoji4] [emoji4]Nmeikibali mkuu
Mkuu nijibu nina simu Samsung Galaxy J7 Prime na TV pia samsung smart shida sioni HD picha nikiconnect mobdro kwenye TV. Msaada pls. Au nimedownload wrong APK?Hii ni tv apps yani kama una tv yako nyumbani unaweza ona haina maana mkuu kila tv chanel bomba ipo kuanzia mtv mpaka sky sport za football zipo mi saiv siendi tena kukesha kwenye mabanda kisa ligi ..
Haifanyi kazi mkuuBofya hiyo link kisha skip ad alaf download hiyo app alaf fuata maelezo
IG HOOT