Waziri wa madini
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 379
- 466
Nimedownload Ila haifany kazi kwanguBlackmart kwa rooted Android. Hiii app inakusaidia kupata app zooote za play store zinazouzwa bure. Haipatikani Google play. I search kwenye search engines
Hii inanilazimu kuroot simu yangu?Tumia hii ipo google --AC MARKET & HAPPYMOD
Cache operating system ndio inayo clear usitumie app, Nenda tu setting Kisha apps tafuta app husika clear...App nzuri ya ku-clear caches ni ipi?
Shukrani mkuu.Cache operating system ndio inayo clear usitumie app, Nenda tu setting Kisha apps tafuta app husika clear...
Kujua app gani inakula sana cache Nenda setting Kisha storage.
Kama ni ishu serious sana clear cache kupitia recovery.
Kama Una storage ya kutosha sio lazima ku clear cache, cache zinafanya simu inakuwa faster, unapo clear simu inakuwa slow kutumia apps maana zinatengenezwa tena.Shukrani mkuu.
Naonaga inanichosha ku-clear cache per app ndio maana nilitaka nijue kama kuna njia ya kufanya at the same time.
Nina 128 gb with about 30gb free. Nikiziacha caches without adding anything significant kwa simu je haitakaa ijae kamwe?Kama Una storage ya kutosha sio lazima ku clear cache, cache zinafanya simu inakuwa faster, unapo clear simu inakuwa slow kutumia apps maana zinatengenezwa tena.
Hata kama itajaa ni muda sana ita chukua. Ikifika huo muda ikijaa utafuta.Nina 128 gb with about 30gb free. Nikiziacha caches without adding anything significant kwa simu je haitakaa ijae kamwe?
Sawa shukraniHata kama itajaa ni muda sana ita chukua. Ikifika huo muda ikijaa utafuta.
Natamani nami niwe nayo ili niishi kwa amani ndani ya nyumba yangu.Mimi nataka app ya kuhide calls na text za michepuko niwapo na mwenye nyumba......sitaki zionekane namba zao wakiwa wanapiga au kutext ila kwa namba nyingine fresh tu zionekane
Nahitaji hii piaa aiseeApp nzuri ya ku block calls uwe haupatikani kabisa sio iwe inasema namba inatumika ni ipi?
Cheki app inaitwa go sms ina hide sms na callMimi nataka app ya kuhide calls na text za michepuko niwapo na mwenye nyumba......sitaki zionekane namba zao wakiwa wanapiga au kutext ila kwa namba nyingine fresh tu zionekane
Swali kabla sijaipakuaCheki app inaitwa go sms ina hide sms na call
tunasubir majibuSwali kabla sijaipakua
Ina uwezo wa kuselect namba na kuhide call na sms zake???
Na vile vile nikiipakua ina uwezo wa kujihide yenyewe akiwa anaangalia app asiniulize hii ni ya nini?
Acha tu mwenye nyumba anajua kuuwasha moto banatunasubir majibu