lameck laedo
Senior Member
- May 15, 2016
- 174
- 76
Ingia HapaSamahani wandugu naomba msaada namna ya kupakuwa nyimbo kutoka u-tube maana mie huwa naishia kutizama tu sijui jinsi ya kupakuwa kutoka huko na nikiangalia sioni sehemu ya kupakua kutoka huko
Nimesha ipakua True caller niambieí ½í¸í ½í¸í ½í¸mtafte na apps moja inaitwa true caller .idownload ntakwambia kituu chezea jf wewe
Hapana naogopaNa wewe umeiroot sim yako?
Hahahaha mi nilishaua Samsung yangu lkn sikukoma nikanunua simu nyingine nikairoot ikakubaliHapana naogopa
Gbwhatsapp downloadMsaada wa link ya kudowload watsup plus plzzzzz
Msaada wa link ya kudowload watsup plus plzzzzz
teh !Gbwhatsapp download
Nimemjibu hivyo coz kuna uzi niliona humu wanasema whatsapp plus inasumbua ndo maana nikamwambia adownload hiyoteh !
GBWAFix v4.55-2.16.57 @atnfas_hoak.apkMsaada wa link ya kudowload watsup plus plzzzzz
Ahsante kiongoziGbwhatsapp download
dah mimi nilijaribu kufanya rooting kwenye Xperia ikazima jamaa alinichaji 50k kuifufuaHahahaha mi nilishaua Samsung yangu lkn sikukoma nikanunua simu nyingine nikairoot ikakubali
Duuu poledah mimi nilijaribu kufanya rooting kwenye Xperia ikazima jamaa alinichaji 50k kuifufua
Dropbox kuhifadhi kama video, picha na mengineNaomba kufaham matumizi halisi ya dropbox na google drive
Jaribu hii asian_woman videos - XVIDEOS.COMImekuja ila [emoji24] [emoji24]
so hii n kwa app yoyote ileee1. Download Luckypatcher
2: Download app kwenye playstore eg MX player
3. Fungua lucky patcher, tafuta MX player
4. Click open menu of Patches
5. Patck
6. Fungua MX player utakuwa umepata premium version
E bwana kuna apps mpya imeingia wiki iliyopita inaitwa mobikim.com ni apps ya tv nomaaaaa. Huyu jamaa ni mmoroco yupo ufaransaWakuu tuambizane katika experience ya apps zipi ambazo unaona bila hizo huwezi kuona thamani ya simu yako...
Mi naanza na mobdro app noma sana