mkuu weka linkE bwana kuna apps mpya imeingia wiki iliyopita inaitwa mobikim.com ni apps ya tv nomaaaaa. Huyu jamaa ni mmoroco yupo ufaransa
Iko poa sana mobikim TV lakini kiarabu 90% inatakiwa kipande kidogoE bwana kuna apps mpya imeingia wiki iliyopita inaitwa mobikim.com ni apps ya tv nomaaaaa. Huyu jamaa ni mmoroco yupo ufaransa
Daaaa nimesahau ni kweli kiarabu 90% lakini unaweza kutumia kwa kufuata icon tuuIko poa sana mobikim TV lakini kiarabu 90% inatakiwa kipande kidogo
Weka linkDaaaa nimesahau ni kweli kiarabu 90% lakini unaweza kutumia kwa kufuata icon tuu
Na kuhusu ulaji wa megabytes ni kama mobdro au....?Daaaa nimesahau ni kweli kiarabu 90% lakini unaweza kutumia kwa kufuata icon tuu
Aisee hebu naomba link ya app ya kudownload video kwenye youtube ambazo zimekua markedMX player pro hii ni baba lao upande wa video player
Tapatalk pia utaenjoy forums kibao tu ..mfano jf natumia Tapatalk
Ookla speed test
Hii kwaajil ya kuchek Internet speed ya mtandao wangu kwa eneo nililopo
Instagram plus..hii ni nuksi sana unaweza download videos na image za instagram kiurahis pia unaweza kuzoom picha ukiwa instagram na features kibao
Es file explore ni bonge la file manager
Snaptube kwaajili ya kushusha videos kutoka YouTube
Tubemate isiyo na adds na yenye material design
Light TubeMate 2.2.6.650 apk Modded AdFree Material Design.apk
Mobodro kwaajili ya kuenjoy tv stations za kijanja
Yani mbona apps zipo nyingi tu
Nikipata mda ntaweka link za apps zote kari tena premium zile.
Kaka kwenye big screen unaungaje aisee mi huwa nachekia kwenye simu tuJamani naomba kitonga ya bando,maana hapa kitu mabrob ni noma nimeshaunganisha kwenye big screen.na kitonga ya app za kulipia, najua jf ni noma nimepata mengi sana humu ndani.
Mi natumia tecno phantom min zunatumia simu gan coz mm simu yangu sina app yoyote lakin naweza kuhide app.
unacconect vip
Mi natumia cm security ipo play storeNaomba kujuzwa app ambayo MTU akijaribu Ku lock simu. Simu iwe inampga picha
Kwenye simu yako weka launcher ya L launcher ina kipengele cha ku hide AppMi natumia tecno phantom min z
Nielekeze jinsi ya ku-hide apps
Poa subiri nijaribu manKwenye simu yako weka launcher ya L launcher ina kipengele cha ku hide App
Mkuu nilijaribu kupakua poweramp full vision huku ila nilipojaribu kuifungua ikagoma ikanielekeza kununuaNenda google search andika download blackmart app store app store hiyo utaweza kudownload app zote zinazouzwa play store bure full version hasante
Tubemate ila download kutoka google sio playstoreJaribu "vidmate". Binafsi naikubali sana hii app