massimu jr
JF-Expert Member
- Oct 13, 2016
- 542
- 595
bc siku nkipata tatzo ntarud mkuuRaha ni ukishajua faida za ku root simu na kwanini unataka u root.
Bila hivyo huwezi elewa.
Asante MkuuHii hapa kiongizi
Ringpod - MP3 Cutter - Android Apps on Google Play
nasikiaga kuna application ya kutrack mesej au call za mtu wako wa karibu, yaan km anatumiwa/kutuma mesej lazma na kwako ifike, kuna mtu anahifaham?
Natafuta app ambayo nitaweza kuondoa beat la mziki husika na ibaki sauti tu pekee kama ipo naomba msaada wenuHii hapa kiongizi
Ringpod - MP3 Cutter - Android Apps on Google Play
Hazifiki kwako zinatumwa kwenye email ambayo utakuwa umeiweka kwenye hiyo app.nasikiaga kuna application ya kutrack mesej au call za mtu wako wa karibu, yaan km anatumiwa/kutuma mesej lazma na kwako ifike, kuna mtu anahifaham?
Kwangu naikubali sana VideoderVidmate hatar kwa kupakua video utube
Hv hyo iko poa Sana?Kwangu naikubali sana Videoder
Nenda settings more/ mobile networks-acces point names-angalia kama ipo kama haipo njoo useme mtandao gani unatumiaWadau kuna kitu me sijui Kulekebisha yani yan simu ukiwasha data haisomi haionekani kamA imewaka
Ukifungua acces point names utaona triple dots (kutegemea na simu) simu zingine unatumia zile button za chini tap hapo itakuja New APN then tap andika NAME: Vodacom Tanzania,APN: Internet then tap tena hizo triple dots utaona neno save....save haPo washa data hope itakubaRiVodacome
Nahisi group lililo anzishwa ni la kitapeli maana linabagua watu wa kuunganishwa nalo, bora tu nibaki hapa kufaidi maujanjaHakuna group la whatsap, naona mnatuma tu namba, hapa hapa mnapata kila kitu applications za simu tu mnataka group au kuna dhamira nyingine
Hv hyo iko poa Sana?
Tsh.599,000/=Jamani samahani hivi Techno phamtom 6 inauzwa shilingi ngapi hapa Tz
ApplockNatafuta application ya kuficha baadhi ya picha za kwenye cmu yangu