Tushirikishane madaktari bingwa wa watoto

beco

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
1,339
Reaction score
783
Hbr za pililkapilika wana jf

leo ningependa kushare madaktari bingwa wa watoto kutokana na uzoefu kwa kutibiwa au kusikia
kwa upande wangu daktari namba 1 nikikwama kabisaa kwny hosptal za kawaida huwa naenda posta (dsm) hosp ya "dar group " dr anaitwa hasanal
mnaweza mkatupia wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…